swh_bibMarko 12:41
Kisha Yesu akaketi mkabala na sehemu ambapo sadaka zilikuwa zinawekwa na kuangalia umati wa watu wakiweka fedha zao kwenye sanduku la hazina ya Hekalu. Matajiri wengi wakaweka kiasi kikubwa cha fedha.
eng_kjvMark 12:41
¶ And Jesus sat over against the treasury, and beheld how the people cast money into the treasury: and many that were rich cast in much.