swh_bibMarko 10:27
Yesu akawatazama, akawaambia, “Kwa mwanadamu jambo hili haliwezekani, lakini kwa Mungu sivyo. Mambo yote yanawezekana kwa Mungu.”
eng_kjvMark 10:27
And Jesus looking upon them saith, With men it is impossible, but not with God: for with God all things are possible.