swh_bibMathayo 9:11
Mafarisayo walipoona mambo haya, wakawauliza wanafunzi wake, “Kwa nini Mwalimu wenu anakula pamoja na watoza ushuru na ‘wenye dhambi’?”
eng_kjvMatthew 9:11
And when the Pharisees saw it, they said unto his disciples, Why eateth your Master with publicans and sinners?