swh_bibMathayo 7:12
Kwa hiyo chochote mnachotaka mtendewe na watu, ninyi nanyi watendeeni vivyo hivyo. Kwa kuwa hii ndiyo Sheria na Manabii.
eng_kjvMatthew 7:12
Therefore all things whatsoever ye would that men should do to you, do ye even so to them: for this is the law and the prophets.