swh_bibMathayo 6:1
“Angalieni msitende wema wenu mbele ya watu ili wawaone. Kwa maana mkifanya hivyo, hamna thawabu kutoka kwa Baba yenu aliye mbinguni.
eng_kjvMatthew 6:1
Take heed that ye do not your alms before men, to be seen of them: otherwise ye have no reward of your Father which is in heaven.