swh_bibMathayo 5:15
Wala watu hawawashi taa na kuifunika kwa bakuli. Badala yake, huiweka kwenye kinara chake, nayo hutoa mwanga kwa kila mtu aliyemo ndani ya ile nyumba.
eng_kjvMatthew 5:15
Neither do men light a candle, and put it under a bushel, but on a candlestick; and it giveth light unto all that are in the house.