swh_bibMathayo 28:15
Kwa hiyo wale askari wakazipokea hizo fedha nao wakafanya kama walivyoelekezwa. Habari hii imeenea miongoni mwa Wayahudi mpaka leo.
eng_kjvMatthew 28:15
So they took the money, and did as they were taught: and this saying is commonly reported among the Jews until this day.