swh_bibMathayo 27:63
na kusema, “Bwana, tumekumbuka kwamba yule mdanganyifu wakati alikuwa bado hai alisema, ‘Baada ya siku tatu nitafufuka.’
eng_kjvMatthew 27:63
Saying, Sir, we remember that that deceiver said, while he was yet alive, After three days I will rise again.