swh_bibMathayo 26:57
Wale waliokuwa wamemkamata Yesu wakampeleka kwa Kayafa, kuhani mkuu, mahali ambapo walimu wa sheria pamoja na wazee walikuwa wamekusanyika.
eng_kjvMatthew 26:57
¶ And they that had laid hold on Jesus led him away to Caiaphas the high priest, where the scribes and the elders were assembled.