Mathayo 26:37

swh_bibMathayo 26:37

Akamchukua Petro pamoja na wale wana wawili wa Zebedayo, akaanza kuhuzunika na kufadhaika.

eng_kjvMatthew 26:37

And he took with him Peter and the two sons of Zebedee, and began to be sorrowful and very heavy.