swh_bibMathayo 20:12
wakisema, ‘Hawa watu walioajiriwa mwisho wamefanya kazi kwa muda wa saa moja tu, nawe umewafanya sawa na sisi ambao tumestahimili taabu na joto lote la mchana kutwa?’
eng_kjvMatthew 20:12
Saying, These last have wrought but one hour, and thou hast made them equal unto us, which have borne the burden and heat of the day.