Mathayo 20:1

swh_bibMathayo 20:1

“Kwa maana Ufalme wa Mbinguni unafanana na mtu mwenye shamba aliyetoka alfajiri ili kwenda kuajiri vibarua kufanya kazi katika shamba lake la mizabibu.

eng_kjvMatthew 20:1

For the kingdom of heaven is like unto a man that is an householder, which went out early in the morning to hire labourers into his vineyard.