swh_bibMathayo 20:1
“Kwa maana Ufalme wa Mbinguni unafanana na mtu mwenye shamba aliyetoka alfajiri ili kwenda kuajiri vibarua kufanya kazi katika shamba lake la mizabibu.
eng_kjvMatthew 20:1
For the kingdom of heaven is like unto a man that is an householder, which went out early in the morning to hire labourers into his vineyard.