Mathayo 18:31

swh_bibMathayo 18:31

Watumishi wenzake walipoona haya yaliyotukia wakaudhika sana, nao wakaenda na kumwambia bwana wao kila kitu kilichokuwa kimetukia.

eng_kjvMatthew 18:31

So when his fellowservants saw what was done, they were very sorry, and came and told unto their lord all that was done.