swh_bibMathayo 18:31
Watumishi wenzake walipoona haya yaliyotukia wakaudhika sana, nao wakaenda na kumwambia bwana wao kila kitu kilichokuwa kimetukia.
eng_kjvMatthew 18:31
So when his fellowservants saw what was done, they were very sorry, and came and told unto their lord all that was done.