Mathayo 15:33

swh_bibMathayo 15:33

Wanafunzi wake wakasema, “Tutapata wapi mikate ya kutosha kuwalisha umati huu wa watu mkubwa namna hii, nasi tuko nyikani?”

eng_kjvMatthew 15:33

And his disciples say unto him, Whence should we have so much bread in the wilderness, as to fill so great a multitude?