swh_bibMathayo 13:48
Ulipojaa, wavuvi wakavuta pwani, wakaketi na kukusanya samaki wazuri kuwaweka kwenye vyombo safi, lakini wale samaki wabaya wakawatupa.
eng_kjvMatthew 13:48
Which, when it was full, they drew to shore, and sat down, and gathered the good into vessels, but cast the bad away.