Mathayo 12:5

swh_bibMathayo 12:5

Au hamjasoma katika Sheria kwamba siku ya Sabato makuhani huvunja sheria ya Sabato Hekaluni lakini hawahesabiwi kuwa na hatia?

eng_kjvMatthew 12:5

Or have ye not read in the law, how that on the sabbath days the priests in the temple profane the sabbath, and are blameless?