swh_bibMathayo 10:14
Kama mtu yeyote hatawakaribisha ninyi, wala kusikiliza maneno yenu, kungʼuteni mavumbi kutoka kwenye miguu yenu mtakapokuwa mnatoka kwenye nyumba hiyo au mji huo.
eng_kjvMatthew 10:14
And whosoever shall not receive you, nor hear your words, when ye depart out of that house or city, shake off the dust of your feet.