swh_bibLuka 6:7
Mafarisayo na walimu wa sheria walikuwa wakitafuta sababu ya kumshtaki Yesu. Kwa hivyo wakawa wanamwangalia sana ili waone kama ataponya katika siku ya Sabato.
eng_kjvLuke 6:7
And the scribes and Pharisees watched him, whether he would heal on the sabbath day; that they might find an accusation against him.