Luka 5:30

swh_bibLuka 5:30

Lakini Mafarisayo na walimu wa sheria waliokuwa wa dhehebu lao wakawalalamikia wanafunzi wa Yesu, wakisema, “Mbona mnakula na kunywa pamoja na watoza ushuru na ‘wenye dhambi’?”

eng_kjvLuke 5:30

But their scribes and Pharisees murmured against his disciples, saying, Why do ye eat and drink with publicans and sinners?