swh_bibLuka 16:16
“Sheria na Manabii vilihubiriwa mpaka kuja kwa Yohana Mbatizaji. Tangu wakati huo habari njema za Ufalme wa Mungu zinahubiriwa, na kila mmoja hujiingiza kwa nguvu.
eng_kjvLuke 16:16
The law and the prophets were until John: since that time the kingdom of God is preached, and every man presseth into it.