swh_bibLuka 15:17
“Lakini alipozingatia moyoni mwake, akasema, ‘Ni watumishi wangapi walioajiriwa na baba yangu ambao wana chakula cha kuwatosha na kusaza, bali mimi hapa nakufa kwa njaa!
eng_kjvLuke 15:17
And when he came to himself, he said, How many hired servants of my father’s have bread enough and to spare, and I perish with hunger!