swh_bibLuka 14:1
Ikawa siku moja Yesu alipokuwa amekwenda kula chakula kwa mmoja wa viongozi wa Mafarisayo siku ya Sabato, watu walikuwa wakimchunguza kwa bidii.
eng_kjvLuke 14:1
And it came to pass, as he went into the house of one of the chief Pharisees to eat bread on the sabbath day, that they watched him.