swh_bibLuka 10:7
Kaeni katika nyumba hiyo, mkila na kunywa kile watakachowapa, kwa sababu kila mtendakazi anastahili malipo yake. Msihamehame kutoka nyumba hadi nyumba.
eng_kjvLuke 10:7
And in the same house remain, eating and drinking such things as they give: for the labourer is worthy of his hire. Go not from house to house.