swh_bibMambo Ya Walawi 8:10
Ndipo Mose akachukua mafuta ya upako na kuipaka maskani na kila kitu kilichokuwamo ndani yake, kisha akaviweka wakfu.
eng_kjvLeviticus 8:10
And Moses took the anointing oil, and anointed the tabernacle and all that was therein, and sanctified them.