Mambo Ya Walawi 7:6

swh_bibMambo Ya Walawi 7:6

Mwanaume yeyote katika jamaa ya kuhani aweza kuila, lakini lazima iliwe mahali patakatifu; ni takatifu sana.

eng_kjvLeviticus 7:6

Every male among the priests shall eat thereof: it shall be eaten in the holy place: it is most holy.