swh_bibMambo Ya Walawi 16:3
“Hivi ndivyo Aroni atakavyoingia katika mahali patakatifu: atachukua fahali mchanga kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na kondoo dume kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa.
eng_kjvLeviticus 16:3
Thus shall Aaron come into the holy place: with a young bullock for a sin offering, and a ram for a burnt offering.