swh_bibMambo Ya Walawi 15:18
Ikiwa mtu atalala na mwanamke, na kukawa na kutoka kwa shahawa, ni lazima wote waoge kwa maji, nao watakuwa najisi mpaka jioni.
eng_kjvLeviticus 15:18
The woman also with whom man shall lie with seed of copulation, they shall both bathe themselves in water, and be unclean until the even.