swh_bibMambo Ya Walawi 14:35
ni lazima mwenye nyumba hiyo akamwambie kuhani, ‘Nimeona kitu fulani kinachofanana na upele kwenye nyumba yangu.’
eng_kjvLeviticus 14:35
And he that owneth the house shall come and tell the priest, saying, It seemeth to me there is as it were a plague in the house: