swh_bibMambo Ya Walawi 14:32
Haya ndiyo masharti kwa mtu yeyote mwenye ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza, na ambaye hana uwezo wa kutoa sadaka za kawaida kwa ajili ya kutakaswa kwake.
eng_kjvLeviticus 14:32
This is the law of him in whom is the plague of leprosy, whose hand is not able to get that which pertaineth to his cleansing.