Mambo Ya Walawi 10:18

swh_bibMambo Ya Walawi 10:18

Kwa kuwa damu yake haikuletwa ndani ya Mahali Patakatifu, mngemla mbuzi huyo katika sehemu ya mahali patakatifu kama nilivyoagiza.”

eng_kjvLeviticus 10:18

Behold, the blood of it was not brought in within the holy place: ye should indeed have eaten it in the holy place, as I commanded.