swh_bibYoshua 8:12
Yoshua alikuwa amewachukua watu wapatao elfu tano, akawaweka katika uavizi kati ya Betheli na Ai, upande wa magharibi wa mji.
eng_kjvJoshua 8:12
And he took about five thousand men, and set them to lie in ambush between Beth-el and Ai, on the west side of the city.