swh_bibYoshua 24:29
Baada ya mambo haya, Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wa Bwana akafa akiwa na umri wa miaka mia moja na kumi.
eng_kjvJoshua 24:29
¶ And it came to pass after these things, that Joshua the son of Nun, the servant of the LORD, died, being an hundred and ten years old.