Yoshua 18:13

swh_bibYoshua 18:13

Kutoka hapo ulikatiza kwenye mteremko wa kusini mwa Luzu (yaani Betheli) na kushuka hadi Ataroth-Adari katika kilima kusini mwa Beth-Horoni ya Chini.

eng_kjvJoshua 18:13

And the border went over from thence toward Luz, to the side of Luz, which is Beth-el, southward; and the border descended to Ataroth-adar, near the hill that lieth on the south side of the nether Beth-horon.