swh_bibYoshua 10:14
Haijakuwepo siku nyingine kama hiyo kabla au baada, siku ambayo Bwana alimsikiliza mwanadamu. Hakika Bwana alikuwa akiwapigania Israeli.
eng_kjvJoshua 10:14
And there was no day like that before it or after it, that the LORD hearkened unto the voice of a man: for the LORD fought for Israel.