swh_bibAyubu 4:19
ni mara ngapi zaidi wale waishio katika nyumba za udongo wa mfinyanzi, ambazo misingi yake ipo mavumbini, ambao wamepondwa kama nondo!
eng_kjvJob 4:19
How much less in them that dwell in houses of clay, whose foundation is in the dust, which are crushed before the moth?