swh_bibAyubu 31:35
(“Laiti kama angekuwepo mtu wa kunisikia! Tazama sasa ninatia sahihi kwenye utetezi wangu: Mwenyezi na anijibu; mshtaki wangu na aweke mashtaka yake kwenye maandishi.
eng_kjvJob 31:35
Oh that one would hear me! behold, my desire is, that the Almighty would answer me, and that mine adversary had written a book.