swh_bibAyubu 10:1
“Nayachukia sana haya maisha yangu; kwa hiyo nitatoa malalamiko yangu kwa wazi bila kujizuia, nami nitanena kutokana na uchungu wa moyo wangu.
eng_kjvJob 10:1
My soul is weary of my life; I will leave my complaint upon myself; I will speak in the bitterness of my soul.