swh_bibYohana 7:45
Hatimaye wale walinzi wa Hekalu wakarudi kwa viongozi wa makuhani na Mafarisayo waliokuwa wamewatuma ili kumkamata Yesu, wakaulizwa, “Mbona hamkumkamata?”
eng_kjvJohn 7:45
¶ Then came the officers to the chief priests and Pharisees; and they said unto them, Why have ye not brought him?