Yohana 7:32

swh_bibYohana 7:32

Mafarisayo wakasikia watu wakinongʼona mambo kama hayo kuhusu Yesu, ndipo wao pamoja na viongozi wa makuhani wakatuma walinzi wa Hekalu waende kumkamata.

eng_kjvJohn 7:32

¶ The Pharisees heard that the people murmured such things concerning him; and the Pharisees and the chief priests sent officers to take him.