swh_bibYohana 6:9
“Hapa kuna mvulana mmoja mwenye mikate mitano ya shayiri na samaki wawili wadogo. Lakini hivi vitatosha nini kwa umati huu wote?”
eng_kjvJohn 6:9
There is a lad here, which hath five barley loaves, and two small fishes: but what are they among so many?