Yohana 5:13

swh_bibYohana 5:13

Basi yule mtu aliyeponywa hakufahamu ni nani aliyemponya, kwa sababu Yesu alikuwa amejiondoa katika ule umati wa watu uliokuwa hapo.

eng_kjvJohn 5:13

And he that was healed wist not who it was: for Jesus had conveyed himself away, a multitude being in that place.