Yohana 19:41

swh_bibYohana 19:41

Basi palikuwa na bustani karibu na mahali pale aliposulubiwa, na pale ndani ya ile bustani palikuwa na kaburi jipya, ambalo halikuwa limezikiwa mtu bado.

eng_kjvJohn 19:41

Now in the place where he was crucified there was a garden; and in the garden a new sepulchre, wherein was never man yet laid.