swh_bibYohana 15:24
Kama sikuwa nimefanya miujiza ambayo haijapata kufanywa na mtu mwingine yeyote, wasingalikuwa na hatia ya dhambi. Lakini sasa wameiona miujiza hii na bado wakatuchukia mimi na Baba yangu.
eng_kjvJohn 15:24
If I had not done among them the works which none other man did, they had not had sin: but now have they both seen and hated both me and my Father.