swh_bibYohana 12:6
Yuda alisema hivi si kwa kuwa aliwajali maskini, bali kwa kuwa alikuwa mwizi, kwani ndiye alikuwa akitunza mfuko wa fedha akawa anaiba kile kilichowekwa humo.
eng_kjvJohn 12:6
This he said, not that he cared for the poor; but because he was a thief, and had the bag, and bare what was put therein.