swh_bibYohana 11:51
Hakusema haya kutokana na mawazo yake mwenyewe bali kama kuhani mkuu mwaka huo, alitabiri kuwa Yesu angelikufa kwa ajili ya taifa la Wayahudi,
eng_kjvJohn 11:51
And this spake he not of himself: but being high priest that year, he prophesied that Jesus should die for that nation;