swh_bibYohana 11:38
Yesu kwa mara nyingine akiwa amefadhaika sana, akafika penye kaburi. Hilo kaburi lilikuwa pango ambalo jiwe lilikuwa limewekwa kwenye ingilio lake.
eng_kjvJohn 11:38
Jesus therefore again groaning in himself cometh to the grave. It was a cave, and a stone lay upon it.