swh_bibYohana 10:41
Watu wengi wakamjia, nao wakawa wakisema, “Yohana hakufanya muujiza wowote, lakini kila jambo alilosema kumhusu huyu mtu ni kweli.”
eng_kjvJohn 10:41
And many resorted unto him, and said, John did no miracle: but all things that John spake of this man were true.