Yohana 10:3

swh_bibYohana 10:3

Mlinzi humfungulia lango na kondoo huisikia sauti yake. Huwaita kondoo wake kwa majina yao na kuwatoa nje ya zizi.

eng_kjvJohn 10:3

To him the porter openeth; and the sheep hear his voice: and he calleth his own sheep by name, and leadeth them out.