Yeremia 39:2

swh_bibYeremia 39:2

Katika siku ya tisa ya mwezi wa nne wa mwaka wa kumi na moja wa utawala wa Sedekia, ukuta wa mji ulibomolewa.

eng_kjvJeremiah 39:2

And in the eleventh year of Zedekiah, in the fourth month, the ninth day of the month, the city was broken up.