Yeremia 2:11

swh_bibYeremia 2:11

Je, taifa limebadili miungu yake wakati wowote? (Hata ingawa hao si miungu kamwe.) Lakini watu wangu wamebadili Utukufu wao kwa sanamu zisizofaa kitu.

eng_kjvJeremiah 2:11

Hath a nation changed their gods, which are yet no gods? but my people have changed their glory for that which doth not profit.